Pages

Tuesday, January 31, 2012

MUNGU ANATENDA MAKUU

Napenda kukutia moyo wewe mpendwa wa Mungu wetu kwamba usikate tamaa. Huu ni wakati wako wa kupokea, mweleze Mungu mipango yako naye atafanya ( mithali 3 : 5). Mungu anafanya yote hasa yale ambayo wewe unaona kuwa hayawezekani. Hebu leo jaribu tu kumweleza Mungu halafu mwachie yeye kisha utaona milango ya mafanikio inafunguka.

No comments:

Post a Comment